From Wikipedia, the free encyclopedia
Mfumo wa kingamaradhi (kwa Kiingereza immune system) ni seti ya tishu za mwili zinazofanya kazi pamoja ili kukwepa ugonjwa.
Mfumo huo unasaidia kiumbehai kutambua na kuzuia hatari kutoka nje kwa afya yake, kama vile virusi, bakteria na vidusia mbalimbali.[1]
Kumbe pengine mfumo wenyewe umeathiriwa na kwa sababu hiyo unashindwa kufanya kazi.[2][3] Mfano mmojawapo wa ukosefu huo ni UKIMWI unaosababishwa na VVU.
Mfumo huo ni wa zamani sana, kiasi kwamba uliweza kuwepo katika eukaryota wa seli moja tu, kabla ya wanyama na mimea kutofautiana.[4][4]
Fani muhimu ya sayansi inayochunguza mfumo huo inaitwa imunolojia.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.