From Wikipedia, the free encyclopedia
Giordano Bruno (Nola, 1548 - [[Roma], 17 Februari 1600) alikuwa kasisi, mtawa wa shirika la Wadominiko, mwanafalsafa na mshairi nchini Italia.
Anakumbukwa katika falsafa hasa kwa sababu ya mafundisho yake kuwa ulimwengu hauna mwisho wala mipaka.
Kwa ajili hiyo alihukumiwa na mahakama ya Papa adhabu ya kifo na kuchomwa moto kama mzushi na mchawi.
Mwaka 2000 kamati ya Vatikano ilitangaza kwamba hukumu ile ilikuwa na kosa.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.