From Wikipedia, the free encyclopedia
Ghuba ya Saint Lawrence (kwa Kiingereza: Gulf of Saint Lawrence, kwa Kifaransa. golfe du Saint-Laurent) ni eneo la mdomo wa Mto Saint Lawrence katika Bahari Atlantiki. Hivyo ni pia sehemu ambako maji ya maziwa makubwa ya Amerika Kaskazini yanaishia baharini. Mkono huu wa bahari umefungwa na nchi kavu ya Kanada pande tatu na una eneo la maji la km2 236,000.
Ghuba hiyo inapakana upande wa kaskazini na Rasi ya Labrador, upande wa mashariki na Newfoundland, upande wa kusini na Nova Scotia na upande wa magharibi na Rasi Gaspé na New Brunswick.
Kuna milango miwili ambako ghuba inaunganishwa na Atlantiki:
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.