Treni (kutoka Kiingereza train; huitwa pia gari la moshi au garimoshi) ni chombo cha usafiri kwenye reli za garimoshi. Pia anaendesha hili jombo anaitwa nahodha.

Thumb
Treni za TRC kituoni huko Dar es Salaam.
Thumb
Treni.

Treni inamaanisha jumla ya mabehewa inayovutwa au kusukumwa na injinitreni kwenye njia ya reli. Mfumo wa usafiri kwa treni huitwa kwa kifupi reli.

Mabehewa haya yanaweza kubeba watu au mizigo, hivyo kuna tofauti kati ya treni ya abiria na treni ya mizigo.

Mahali ambako treni inasimama na kupokea abiria au mizigo huitwa kituo cha reli.

Picha

Treni

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.