Free Software Foundation (FSF) ni Shirika Lisilo la Kiserikali. Lilianzishwa mnamo tar. 4 Oktoba ya mwaka wa 1985 na Richard Stallman kwa lengo la kusaidia harakati za bidhaa pepe huru ("huru" na "uhuru zaidi"), ususani ilikuwa kwa ajili ya mradi wa GNU.
Free Software Foundation Shirika la Bidhaa Pepe Huru | |
Aina ya jumuiya: | NGO na ni Shirika Lisilo na Maslahi |
---|---|
Mahali: | Boston, Massachusetts |
Uga: | Bidhaa pepe Huru |
Huduma: | GNU Project GPL LGPL GFDL |
Tovuti: | www.fsf.org |
Viungo vya Nje
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.