Erwin Neher

From Wikipedia, the free encyclopedia

Erwin Neher

Erwin Neher (amezaliwa 20 Machi, 1944) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza chembe hai. Mwaka wa 1991, pamoja na Bert Sakmann alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Erwin Neher kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Erwin Neher

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.