En'yu (12 Aprili, 959 1 Machi, 991) alikuwa mfalme mkuu wa 64 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Morihira, na alikuwa mwana wa tano wa Tenno Murakami. Mwaka wa 969 alimfuata kaka yake, Tenno Reizei, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 984. Aliyemfuata kama Tenno ni mpwa wake, Kazan.

Thumb
mchoro wa mfalme En'yu

Angalia pia

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu En'yu wa Japani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
kaburi la mfalme En'yu

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.