Diyarbakır
From Wikipedia, the free encyclopedia
Diyarbakır (Kiosmani Kituruki دیاربکر, Diyâr-ı Bekr; Kikurdi ئامهد, Amed; anc. Amida) ni mji mkubwa sana uliopo kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Mji upo katika eneo la ukingo wa Mto Tigris, huu ni mji mkuu wa Mkoa wa Diyarbakır wenye wakazi karibuni milioni 1.5[1]. Wenye lundiko la watu takriban 600,000[1], huu ni mji wa pili kwa ukubwa katika Uturuki ya Kusini-mashariki mwa mkoa wa Anatolia, baada ya Gaziantep.

Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.