From Wikipedia, the free encyclopedia
Corrado Sanguineti (amezaliwa Milano, 7 Novemba 1964) ni askofu Mkatoliki nchini Italia.
Alipata upadrisho tarehe 30 Oktoba 1988.
Tarehe 16 Novemba 2015 ametangazwa kuwa askofu wa Jimbo la Pavia.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.