Betirani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Betirani

Betirani (pia: Bertechramnus, Bertichramnus, Berticrannus, Bertrannus, Berthram, Bertram, Bertran, Bertrand; Autun, leo nchini Ufaransa, 540 - Le Mans, 623 hivi) alikuwa askofu wa Le Mans kuanzia mwaka 586 hadi kifo chake, isipokuwa katikati, alipofungwa gerezani na alipofukuzwa na serikali.

Thumb
Kaburi lake katika kanisa huko Le Mans.

Anakumbukwa kama mchungaji aliyependa amani na kuwakirimu maskini na wamonaki[1]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.