Bahr al-Ghazal Kaskazini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bahr al-Ghazal Kaskazini

Bahr al Ghazal Kaskazini lilikuwa jimbo la Sudan. Kwa sasa ni jimbo la Sudan Kusini.

Thumb
Kituo cha Malual
Thumb
Ramani ya Barh al Ghazal Kaskazini.

Ina eneo la km2 30,543. [1][2]

Usimamizi

Bahr al Ghazal ya Kaskazini, kama majimbo mengine nchini Sudan Kusini, imegawanywa katika kaunti; kuna kaunti tano, zinazoongozwa na Kamishna wa Kaunti.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.