From Wikipedia, the free encyclopedia
Augustino wa Canterbury (kwa Kilatini Augustinus Cantiacorum) alizaliwa Roma, Italia, 13 Novemba 534 akafariki Canterbury, Uingereza, 26 Mei 604) alikuwa mmonaki kutoka Italia aliyetumwa na Papa Gregori I kama askofu mmisionari huko Uingereza mwaka 597 akiwa na wamonaki wenzake wengi.
Baada ya kupokewa vizuri na mfalme Ethelbert wa Kent, aliiga maisha ya Kanisa la mwanzo na kumuongoa mfalme huyo pamoja na wananchi wengi sana, akianzisha kwa ajili yao majimbo mbalimbali[1].
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu "mtume wa Uingereza".
{{cite book}}
: Unknown parameter |coauthors=
ignored (|author=
suggested) (help){{cite encyclopedia}}
: CS1 maint: multiple names: editors list (link){{cite book}}
: Unknown parameter |coauthors=
ignored (|author=
suggested) (help){{cite encyclopedia}}
: CS1 maint: multiple names: editors list (link){{cite encyclopedia}}
: Explicit use of et al. in: |editor=
(help){{cite journal}}
: Unknown parameter |month=
ignored (help){{cite encyclopedia}}
: Unknown parameter |editors=
ignored (|editor=
suggested) (help){{cite encyclopedia}}
: CS1 maint: multiple names: editors list (link){{cite journal}}
: Unknown parameter |month=
ignored (help){{cite journal}}
: Unknown parameter |month=
ignored (help){{cite journal}}
: CS1 maint: date format (link)Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.