Augustino wa Canterbury
From Wikipedia, the free encyclopedia
Augustino wa Canterbury (kwa Kilatini Augustinus Cantiacorum) alizaliwa Roma, Italia, 13 Novemba 534 akafariki Canterbury, Uingereza, 26 Mei 604) alikuwa mmonaki kutoka Italia aliyetumwa na Papa Gregori I kama askofu mmisionari huko Uingereza mwaka 597 akiwa na wamonaki wenzake wengi.

Baada ya kupokewa vizuri na mfalme Ethelbert wa Kent, aliiga maisha ya Kanisa la mwanzo na kumuongoa mfalme huyo pamoja na wananchi wengi sana, akianzisha kwa ajili yao majimbo mbalimbali[1].
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu "mtume wa Uingereza".
Tazama pia
Vyanzo vya kale
- Beda Mhashamu, Historia Ecclesiastica
- Paulo Shemasi, Vita Sancti Gregori Papae
- Gregori Mkuu, Epistulae
- Gregori wa Tours, Historia Francorum
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.