Mwanasiasa kutoka Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Anna Semamba Makinda (amezaliwa 15 Julai 1949) alikuwa mbunge wa jimbo la Njombe Kusini katika bunge la taifa nchini Tanzania.[1] Pia alikuwa Naibu Spika wa Bunge tangu mwaka 2006 hadi 2010. Alikuwa Spika wa kwanza mwanamke katika Bunge la Tanzania. Tangu mwaka 1990 hadi 1995 alikuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Pia miaka ya nyuma alishawahi kushika nyadhifa kadha wa kadha.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.