Chuo Kikuu cha Al-Qairawin (kiarabu: جا معة القرويين) mjini Fes (Moroko) kiliundwa mwaka 859 kama madarasa kwenye msikiti ya Al-Qairawin. Inasemekana ni chuo kikuu cha kale kabisa duniani inayoendelea kufanya kazi hadi leo. Kuundwa kwake kulitokea miaka 70 kabla ya Chuo Kikuu cha Al-Azhar mjini Kairo (Misri).
Kati ya wanafunzi wake mashuhuri alikuwa mwanafalsafa Myahudi Maimonides.
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.