Abumedi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Abumedi (alifariki katika kisiwa cha Tenedos, leo nchini Uturuki, karne ya 4) alikuwa Mkristo aliyeuawa kutokana na imani yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma, ama chini ya kaisari Dioklesyano ama chini ya Juliani Mwasi, kwa sababu alikataa kula nyama iliyotolewa sadaka kwa miungu [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 15 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.