![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/17/SS_Badger_CloseUP.png/640px-SS_Badger_CloseUP.png&w=640&q=50)
Ziwa Michigan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ziwa Michigan ni moja kati ya maziwa makubwa ya Amerika ya Kaskazini kwenye sehemu ya Marekani pekee.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/17/SS_Badger_CloseUP.png/640px-SS_Badger_CloseUP.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/29/Lake-Michigan.svg/640px-Lake-Michigan.svg.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/4b/2004-07-14_2600x1500_chicago_lake_skyline.jpg/640px-2004-07-14_2600x1500_chicago_lake_skyline.jpg)
Ziwa Michigan limepakana na majimbo zifuatazo: Michigan, Indiana, Illinois na Wisconsin. Michigan na Wisconsin zinatawala sehemu kubwa ya ziwa.
Ziwa Michigan hupokea maji yake kutoka kwa mito mingi inayoisha humo; maji yake hutoka kwenda Ziwa Huron kupitia Straights of Mackinac. Majiji mawili makuu ni Chicago na Milwaukee.