From Wikipedia, the free encyclopedia
Ziwa Dweru (au ziwa George la Uganda) ni ziwa dogo (km2 250) la eneo la Maziwa Makuu ya Afrika.
Liko nchini Uganda kwenye Ikweta.
Ziwa Dweru linachangiwa na mto Nyamwamba na humwaga maji yake kaskazini mwa Ziwa Edward kupitia Mtaro wa Kazinga. Halafu ziwa Edward humwaga maji yake kaskazini kupitia mto Semliki katika ziwa Mwitanzige.
Ndani yake vinapatikana visiwa vya Akika, Irangara, Kankuranga, Kitako na Sikanki.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.