Zhores Ivanovich Alfyorov (amezaliwa 15 Machi, 1930) alikuwa mwanafizikia na mwanasiasa kutoka nchi ya Urusi. Hasa alichunguza kidude cha elektroniki. Mwaka wa 2000, pamoja na Herbert Kroemer na Jack St. Clair Kilby, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Zhores Alfyorov kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Zhores Alfyorov

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.