Yves Chauvin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yves Chauvin

Yves Chauvin (amezaliwa 10 Oktoba 1930) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa anajulikana kwa kuchunguza hali na sifa za olefini. Mwaka wa 2005, pamoja na Robert Grubbs na Richard Schrock alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yves Chauvin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Yves Chauvin akiwa jukwaani

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.