![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/01/Yaren_in_Nauru.svg/langsw-640px-Yaren_in_Nauru.svg.png&w=640&q=50)
Yaren
From Wikipedia, the free encyclopedia
Yaren (zamani iliitwa pia "Makwa") ni tarafa kwenye nchi ya kisiwani cha Nauru yenye nafasi ya mji mkuu. Eneo lake ni 1.5 km² kuna wakazi 1,100 (2003).
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/01/Yaren_in_Nauru.svg/640px-Yaren_in_Nauru.svg.png)
Kisheria hakuna mji mkuu nchini Nauru lakini karibu majengo yote ya serikali pamoja na bunge yapo Yaren.