Kuchakulo ni wanyama wadogo kama kindi katika kabila Xerini la familia Sciuridae. Tofauti na kindi, ambao huishi mitini, kuchakulo huishi ardhini. Wanatokea maeneo makavu ya Afrika, isipokuwa kuchakulo makucha-marefu anayetokea Asia ya Kati. Hula mbegu, makokwa, matunda, matumba, manyasi, machipukizi na wadudu. Huchimba vishimo ambamo walala na kukingwa dhidi ya joto na wanyama mbua. Hutafuta chakula wakati wa mchana.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Kuchakulo
Thumb
Kuchakulo miraba (Euxerus erythropus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Rodentia (Wagugunaji)
Nusuoda: Sciuromorpha (Wanyama kama kindi)
Familia: Sciuridae (Wanyama walio na mnasaba na kindi)
Muirhead, 1819
Nusufamilia: Xerinae (Wanyama wanaofanana na kindi)
Osborn, 1910
Kabila: Xerini
Ngazi za chini

Jenasi 5, spishi 6:

  • Atlantoxerus Forsyth Major, 1893
  • Euxerus Thomas, 1909
    • E. erythropus Desmarest, 1817
  • Geosciurus Smith, 1834
    • G. inauris (Zimmermann, 1780)
    • G. princeps (Thomas, 1929)
  • Spermophilopsis Blasius, 1884
    • S. leptodactylus (Lichtenstein, 1823
  • Xerus Hemprich & Ehrenberg, 1833
    • X. rutilus (Cretzschmar, 1828)
Funga

Spishi za Afrika

Spishi ya Asia

Spishi ya kabla ya historia

  • Xerus daamsi (Pliocene ya Kossom Bougoudi, Chadi)

Picha

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.