Xenoni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Xenoni (pia: zenoni; kut. kigiriki ξένος ksenos “kigeni” kwa sababu wafumbuzi wa kwanza waliikuta mahali wasipoitegemea) ni elementi yenye namba atomia 54 kwenye mfumo radidia na uzani wa atomi 131.293. Alama yake ni Xe.
Ukweli wa haraka Xenoni ...
Xenoni | |
---|---|
Jina la Elementi | Xenoni |
Alama | Xe |
Namba atomia | 54 |
Mfululizo safu | Gesi adimu |
Uzani atomia | 131.293 |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | 161.4 K (-111.7 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 165.03 K (-108.12 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 2 · 10-9 % |
Hali maada | gesi |
Funga