From Wikipedia, the free encyclopedia
Wabarnaba ni jina linalotumika kwa kawaida kuwataja watawa wa shirika la Makleri wa Mt. Paulo (kwa Kilatini Clerici Regulares Sancti Pauli, kifupi B.) ambalo lilianzishwa na mtakatifu Antoni Maria Zakaria na wenzake wawili mwaka 1530 likakubalika mwaka 1533.
Watakatifu wengine wa shirika hilo ni Aleksanda Sauli na Fransisko Bianchi.
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.