Azteki
From Wikipedia, the free encyclopedia
Azteki ilikuwa jina la ustaarabu muhimu nchini Mexiko kabla ya kufika kwa Wahispania. Waazteki walitawala nyanda ja juu za Mexiko ya Kati pamoja na mji mkuu Tenochtitlan uliokuwa Jiji la Meksiko jinsi uanvyoitwa leo.