From Wikipedia, the free encyclopedia
Västerås ni mji kubwa nchini Uswidi. Ni mji mkubwa wa sita katika nchi wa Uswidi. Kuna wakazi 107,005 (mwaka 2005). Iko kando ya Ziwa Mälaren.
Eneo lake ni 51.73 km². Umbali na Jiji la Stockholm ni 100 km.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Västerås kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.