Vyombo vya habari
From Wikipedia, the free encyclopedia
Vyombo vya habari ni vyombo vya mawasiliano vinavyolenga watu wengi iwezekanavyo kwa shabaha ya kuwapatia habari au burudani.
Mifano yake ni magazeti, redio, televisheni au intaneti.
Vyombo vya habari ni vyombo vya mawasiliano vinavyolenga watu wengi iwezekanavyo kwa shabaha ya kuwapatia habari au burudani.
Mifano yake ni magazeti, redio, televisheni au intaneti.