Kiongozi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiongozi ni mtu ambaye huongoza kikundi cha watu[1]. Mara nyingi kiongozi hupewa heshima ya juu katika jamii, kikundi cha watu au katika familia ambapo huheshimiwa na watu wote katika eneo husika analolisimamia kiongozi kwa ajili ya kuwaongoza watu.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c0/John_Magufuli_2015.png/200px-John_Magufuli_2015.png)