Vermont
jimbo la Marekani / From Wikipedia, the free encyclopedia
Vermont ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi. Mji mkuu ni Montpelier na mji mkubwa ni Burlington. Impekana na Kanada (Quebec), New Hampshire, Massachusetts na New York. Jimbo lina wakazi wapatao 621,270 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 24,923.
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Vermont | |||
| |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Montpelier | ||
Eneo | |||
- Jumla | 24,901 km² | ||
- Kavu | 23,956 km² | ||
- Maji | 945 km² | ||
Tovuti: http://www.vermont.gov/ |
Funga