Varanasi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Varanasi (pia: Benares) ni jiji la Jimbo la Uttar Pradesh nchini Uhindi lenye wakazi milioni 1.2 (2011). Ni mji mkubwa wa thelathini na moja nchini Uhindi, na ni maarufu kama mahali pa hija kwa Wahindu.
Varanasi (pia: Benares) ni jiji la Jimbo la Uttar Pradesh nchini Uhindi lenye wakazi milioni 1.2 (2011). Ni mji mkubwa wa thelathini na moja nchini Uhindi, na ni maarufu kama mahali pa hija kwa Wahindu.