Vancouver
From Wikipedia, the free encyclopedia
Vancouver ni mji wa pwani uliopo kwenye bandari kuu ya kusini-magharibi mwa jimbo la British Kolumbia, Kanada. Huu ni mji mkubwa kabisa katika British Kolumbia na pia mji wa tatu kwa ukubwa katika Kanada, wenye zaidi ya watu milioni 2.
Panorama ya Vancouver | |
Mahala pa Vancouver | |
Eneo
Maeneo ya Metro Pop'n Rank Metro Pop'n Metro rank Densiti ya watu |
114.67 km²
2,878.52 km² 602,231 (2005 est.) 8 2,132,824 (2004 est.) 3 4758/km² |
Mahala | 49°16' N 123°7' W
Usawa wa Bahari 167 mita |
Umeanzishwa | 1886 |
Jimbo | British Kolumbia
Vancouver Kubwa |
Meya
Kiongozi wa Mji |
Sam Sullivan
Judy Rogers |
Saa za Eneo
Kodi ya Posta Kodi ya Eneo |
Pasifiki (UTC-8)
V5K to V6Z 604, 778 |