UtumeFrom Wikipedia, the free encyclopedia Utume unatokana na fukuto la Kiroho zaidi ndani ya mtu lenye kuigusa nafsi yake, kama kwa kusikia sauti rohoni inayomfanya aitikie kwa kutumika sawasawa na kusudio la Neno la Muumbaji.
Utume unatokana na fukuto la Kiroho zaidi ndani ya mtu lenye kuigusa nafsi yake, kama kwa kusikia sauti rohoni inayomfanya aitikie kwa kutumika sawasawa na kusudio la Neno la Muumbaji.