Utanzu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Utanzu (yaani tawi) ni aina fulani ya kazi ya fasihi.
Tanzu kuu za fasihi andishi ni: riwaya, tamthiliya, shairi, insha, novela na hadithi fupi.
Utanzu (yaani tawi) ni aina fulani ya kazi ya fasihi.
Tanzu kuu za fasihi andishi ni: riwaya, tamthiliya, shairi, insha, novela na hadithi fupi.