From Wikipedia, the free encyclopedia
Umm al-Quwain (kwa Kiarabu: أمّ القيوين) ni emirati mojawapo ya Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko kaskazini mwa shirikisho, kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la km² 750. Haina mapato makubwa kama Abu Dhabi kutokana na mafuta, hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuvi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii utalii umekuwa muhimu.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Umm al-Quwain kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.