KumaFrom Wikipedia, the free encyclopedia Kuma (pia: uke) ni kiungo cha kike kilicho na matumizi kadha wa kadha, mojawapo ikiwa ufunguzi wa kupitishia mkojo, kiungo cha uzazi na halikadhalika kiungo cha ngono. Kiungo hicho kina uwezo wa kujisafisha kwa njia ya bakteria wake[1]. Kuma ya binadamu:1: govi la kinembe2: kinembe3: mashavu ya nje ya uke4: mashavu ya ndani ya uke5: ufunguzi wa mfumo wa mkojo6: ufunguzi wa mfumo wa uzazi7: msamba8: mkundu
Kuma (pia: uke) ni kiungo cha kike kilicho na matumizi kadha wa kadha, mojawapo ikiwa ufunguzi wa kupitishia mkojo, kiungo cha uzazi na halikadhalika kiungo cha ngono. Kiungo hicho kina uwezo wa kujisafisha kwa njia ya bakteria wake[1]. Kuma ya binadamu:1: govi la kinembe2: kinembe3: mashavu ya nje ya uke4: mashavu ya ndani ya uke5: ufunguzi wa mfumo wa mkojo6: ufunguzi wa mfumo wa uzazi7: msamba8: mkundu