Kuma (pia: uke) ni kiungo cha kike kilicho na matumizi kadha wa kadha, mojawapo ikiwa ufunguzi wa kupitishia mkojo, kiungo cha uzazi na halikadhalika kiungo cha ngono. Kiungo hicho kina uwezo wa kujisafisha kwa njia ya bakteria wake[1].

Thumb
Thumb
Kuma ya binadamu:
1: govi la kinembe
2: kinembe
3: mashavu ya nje ya uke
4: mashavu ya ndani ya uke
5: ufunguzi wa mfumo wa mkojo
6: ufunguzi wa mfumo wa uzazi
7: msamba
8: mkundu

Tanbihi

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.