From Wikipedia, the free encyclopedia
Kisiwa cha Ukara (au Bukara) ni kisiwa kimojawapo cha mkoa wa Mwanza, kaskazini mwa Tanzania.
Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa, kilometa 10 kaskazini kwa kisiwa cha Ukerewe ambacho ndicho kikubwa kuliko vyote vya ziwani katika bara la Afrika.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.