Ufalme wa Israeli
ukarasa wa maana wa Wikimedia / From Wikipedia, the free encyclopedia
Ufalme wa Israeli unaweza kuhusu falme mbalimbali zilizotokea katika historia ya Israeli, kama vile:
- Ufalme wa Muungano chini ya Sauli, Daudi na Solomoni (1050–931 KK)
- Ufalme wa Kaskazini (Samaria) chini ya koo mbalimbali (931–722 KK)
- Ufalme wa Kusini (Yuda) chini ya warithi wa Solomoni (931–586 KK)
- Ufalme wa Wamakabayo (140–37 KK)
- Ufalme wa Herode Mkuu (37–4 KK) na warithi wake, wa mwisho wao Agrippa II (hadi 100 hivi BK)
![]() |
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana
Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja. |