From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1968 ulikuwa wa 46 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 5 Novemba. Upande wa "Republican Party", mgombea Richard Nixon (pamoja na kaimu wake Spiro Agnew) aliwashinda mgombea wa "Democratic Party" Hubert Humphrey (pamoja na kaimu wake Edmund Muskie) na mgombea wa "American Independent Party" George Wallace (pamoja na kaimu wake Curtis LeMay).
Nixon akapata kura 301, Humphrey 191 na Wallace 46 (pamoja na kura moja wa mchaguzi kutoka North Carolina aliyempigia kura Wallace badala ya Nixon). Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.