From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1904 ulikuwa wa 30 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 8 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais Theodore Roosevelt (pamoja na kaimu wake Charles Fairbanks) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Alton Parker (pamoja na kaimu wake Henry Davis).
Roosevelt akapata kura 336, na Parker 140. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.