From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1892 ulikuwa wa 27 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 8 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Grover Cleveland (pamoja na kaimu wake Adlai Stevenson) aliwashinda mgombea wa "Republican Party" Rais Benjamin Harrison (pamoja na kaimu wake Whitelaw Reid) na mgombea wa "Populist Party" James B. Weaver (pamoja na kaimu wake James G. Field).
Cleveland akapata kura 277, Harrison 145 na Weaver 22. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.