Tromsø ni makao makuu wa Troms, jimbo la Norwei kaskazini.

Mji wa Tromsø

Una wakazi 72,066 (2015), mbali ya wanafunzi wanaoishi huko wakati wa masomo tu.

Unahesabika kuwa mji ulioko kaskazini kuliko yote duniani, tukiacha ile yenye wakazi chini ya 50,000.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.