![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d2/Trieste_collage.jpg/640px-Trieste_collage.jpg&w=640&q=50)
Trieste
From Wikipedia, the free encyclopedia
Trieste ni jina la mji mkuu wa mkoa wa Friuli-Venezia Giulia katika Italia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 205,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 2 juu ya usawa wa bahari.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d2/Trieste_collage.jpg/320px-Trieste_collage.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Trieste | |
Majiranukta: 45°38′00″N 13°48′00″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Friuli-Venezia Giulia |
Wilaya | Trieste |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 203,374 |
Tovuti: www.retecivica.trieste.it |
Funga