Mtete au gugumua (Phragmites australis) ni aina ya nyasi refu linalomea katika maji kame. Jina hili hutumika pia kwa manyasi marefu yoyote ya maji. Aina za mimea ya maji zinazofanana na mtete huitwa mifunjo (familia Cyperaceae). Jenasi Phragmites inafikiriwa na bingwa wengi ya kuwa na spishi moja tu, lakini spishi nyingi zimefafanuliwa. Spishi moja, P. karka, husadikiwa sana.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mtete
(Phragmites australis)
Thumb
Mitete
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama jaja)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Poaceae (Mimea iliyo mnasaba na manyasi)
Nusufamilia: Arundinoideae
Jenasi: Phragmites
Adans.
Spishi: P. australis
(Cav.) Trin. ex Steud.
Funga

Jina matete hutumika pia kwa manyasi haya, lakini inapendelewa kutumia jina hili kwa mazao yao. Matete hutumika duniani kote kwa kuvimba mapaa.

Picha

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.