Tasifida
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Tasifida (au tasfida, kutoka neno la Kiajemi; kwa Kiingereza "euphemism") ni usemi ambao unatunza adabu kwa kutumia maneno ya staha au ya kificho badala ya kutaja wazi matusi au maneno yanayoweza kukera yakitamkwa hadharani
Mbinu hiyo hupunguza makali ya lugha kwa kuepuka maneno ya kuvunja heshima na kutumia maneno yasiyoudhi wasikilizaji.
Kwa ufupi tasifida ni matumizi ya lugha yenye heshima na adabu.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.