![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/ec/Fernseher.jpg/640px-Fernseher.jpg&w=640&q=50)
Televisheni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Televisheni (kifupi: TV) au runinga ni chombo (kifaa) chenye skrini (kioo) ambacho kinapokea mawasiliano kutoka kituo cha televisheni na kuyabadilisha kuwa picha na sauti.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/ec/Fernseher.jpg/640px-Fernseher.jpg)
Neno "televisheni" linatokana na maneno mawili: tele (kutoka Kigiriki: kwa mbali sana) na visio (kutoka Kilatini: mwono; kwa pamoja yanaunda neno la Kiingereza television lililotoholewa katika Kiswahili televisheni.