![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/74/Flag_of_Saint-Pierre_and_Miquelon.svg/langsw-640px-Flag_of_Saint-Pierre_and_Miquelon.svg.png&w=640&q=50)
St. Pierre na Miquelon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Saint-Pierre na Miquelon (kwa Kifaransa: Saint-Pierre-et-Miquelon) ni eneo la ng'ambo la Ufaransa (Collectivité d'outre mer) ambalo ni funguvisiwa karibu na pwani ya Kanada katika bahari ya Atlantiki.
| |||
Wito: A mare labor (Kazi kutoka bahari) | |||
Lugha rasmi | Kifaransa | ||
Mji Mkuu | St. Pierre | ||
Rais wa Halmashauri Kuu | Stéphane Artano | ||
Mkuu wa Mkoa (Préfet) | Albert Dupuy | ||
Eeno – Jumla – % maji |
242 km² 0.0% | ||
Idadi ya wakazi – Jumla (2011) |
6,080 | ||
Pesa | Euro (€;EUR) | ||
Jamla la pato la eneo (Wanazaa kiasi gani cha mali kwa mwaka) | $48.3 Millioni | ||
Kanda la saa | UTC-3 | ||
Simu ya eneo | 508 ¹ | ||
Intaneti TLD | .pm | ||
1. 0508 kutoka Ufaransa bara. | |||
![]() |
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/10/Miquelon_9.jpg/320px-Miquelon_9.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/78/Saint_Pierre_and_Miquelon_map.gif/320px-Saint_Pierre_and_Miquelon_map.gif)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/0/00/LocationSaint-PierreAndMiquelon.png)