Siracusa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sirakusa (kwa Kiitalia: Siracusa, kwa Kiingereza:Syracuse) ni mji wa Italia uliopo kwenye pwani ya mashariki ya kisiwa cha Sisilia. Kwa karne nyingi tangu zamani za Ugiriki wa Kale Sirakusa ilikuwa mji mkuu wa Sisilia ikahesabiwa pia kati ya miji muhimu na yenye enzi ya dunia.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Siracusa | |
Mahali pa Siracusa katika Italia |
|
Majiranukta: 37°05′00″N 15°17′00″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Sisilia |
Wilaya | Siracusa |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 124,453 |
Tovuti: http://www.comune.siracusa.it/ |
Funga
Tangu 2005 Sirakusa imeandikwa na UNESCO katika orodha ya urithi wa dunia.