Michoro ya miambani (ing. rock art) ni jina kwa michoro ya aina mbalimbali iliyofanywa na wanadamu kwenye uso wa miamba asilia. Ni aina ya sanaa inayoweza kuwa na umri mkubwa sana.

Makala hii kuhusu "Michoro ya miambani" inatumia neno au maneno ambayo si ya kawaida; matumizi yake ni jaribio kwa jambo linalotajwa.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

Michoro ya miambani huko Kondoa, Tanzania

Wataalamu wa akiolojia hutofautisha kati ya

  • Petroglifi (ing. petroglyph) – zinazotokana na kukata nyufa kwenye uso wa mwamba
  • Piktografi (ing. pictograph) – zinazotokana na kutumia rangi juu ya mwamba, hasa kwenye michoro ya mapango.

Michoro ya aina hii hupatikana katika mabara yote na nchi nyingi. Mfano mashuhuri ni Michoro ya Kondoa nchini Tanzania.

Inapatikana kwenye uso wa mwamba unaosimama kama ukuta ama kwenye mtelemko mkali wa mlima au ndani ya mapango.


Picha

Marejeo

Kujisomea

Viungo vya Nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.