![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/dd/Sanaa_HDR_%252816482367935%2529.jpg/640px-Sanaa_HDR_%252816482367935%2529.jpg&w=640&q=50)
Sana'a
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sana'a (Kiarabu: صنعاء) ni mji mkuu wa Yemeni mwenye wakazi 1,747,627 (2004). Iko kwa 15°21'N na 44°12'E kwenye nyanda za juu za Yemen kwenye kimo cha 2,200 m juu ya UB.
Ukweli wa haraka Habari za kimsingi, Mahali ...
![]() | |
Mkoa | Mkoa wa Sana'a |
Anwani ya kijiografia | Latitudo: 15°21'N - Longitudo: 44°12'E |
Kimo | 2,200 m juu ya UB |
Eneo | ?? km² |
Wakazi | takriban milioni 2 |
Msongamano wa watu | watu ?? kwa km² |
Simu | +967 (nchi), 1 (mji) |
Mahali | |
![]() |
Funga
Mji uko takriban 300 km kaskazini ya Aden ambayo ni mji mkubwa wa nchi.