From Wikipedia, the free encyclopedia
Querétaro ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Querétaro.
Imepakana na San Luis Potosí, Guanajuato, Hidalgo, Mexico na Michoacán.
Jimbo lina wakazi wapatao 1,598,139 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 11,449.
Gavana wa jimbo ni Francisco Garrido Patrón.
Lugha rasmi ni Kihispania.
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Querétaro (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.