Puebla (jina rasmi: Heroica Puebla de Zaragoza, pia: Angelópolis) ni mji mkuu ma mji mkubwa jimboni Puebla. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao 1,485,941 wanaoishi katika mji huu. Uneo lake ni 546 km².

Sehemu za Mji wa Puebla, Puebla


Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Jiji la Puebla
Nchi Mexiko
Jimbo Puebla
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,485,941
Tovuti:  www.pueblacapital.gob.mx/
Funga

Mji upo m 2,175 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Puebla ni mji wa kwanza ulianzishwa na Wahispania mwaka 1531.

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Puebla, Puebla kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.